Maisha ya Neno

 
Maisha ya Neno 

Neno 1.
My apologies editing on progress.


Usajili wa www.neno.life ume kamilika leo, tarehe 25.06.2023, 0054am hours. Kama vitengo vingine vya duniani, Neno lina fata sheria na miongozo yakidunia. Uongozi wetu ki serikali, mila desturi na tabia.

Mifumo itabadilika, ila ukweli utajipaka mafuta, utang’aa maana sio kwaajili ya sadaka tena, sio kwaajili ya viongozi tena, kila kiumbe kina Maisha kabla hajaja na hata alipo ondoka kaisari, ingekuwa hela inafanya kula na kuwa stronger na Maisha mazuri au ya maana, bali simba na nyumbu wa Serengeti wangekuwa na Maisha mazuri kuliko wa kwenye zuu Afrika,Yurop, Asia na Amerika juu na chini, ila cha ajabu hata wakwenye zuu, tuna warudisha kuendeleza maisha kule wanako sema , wamasai wana ua simba, kwa ajili yamkia/dudu lao au kuoa, watawamaliza, tuwahamishe tuwatenganishe. Who am I niongelee hayo, kama kuwa na mke sio kutoa ng’ombe wengi as mahari mnataka mkia wa simba, nitawapa na mkia wangu pia, ila unaitwa uume, mtataka uwe umetairiwa aje, maana kuna aina nyingi, Ngozi kuning’inia, au kirungu kavu kavu, au two in one, au yenye ring au rings, au Govinda, chagueni halaka kabla sijamkata simba wa tandale mkia, au mnataka wa tembo, maana unaunda mabangili mazuri sana, kwa manyoya yake, ila ungekuwa ukubwa wa uume ndio ufale basi duuu, binadamu pita huko mbaali kabisa, lakini kwa tunavyo jisifia kuwa na maumbile makubwa kama sifa,. Hivi mwana mke akijisifia ana maumbile makubwa kukuzidi mwanaume kwamba yame pita majeshi na majemedari na vifaru vya kivita na meli za kijeshi mpaka walio na makonkodi yao hapa. Karibu na wewe. Utajisikiaje, as we all born from maumbile ya mwanamke, waume kwa wake, na tuna mbeza mwanamke na kuona kama upendo wake hautoshi na kumshinikiza sasa aje kusimamia ukurugenzi, umeneja na uongozi wa jamii mpaka nchi.

Alafu mkiambiwa wanaume inabidi mpike na kuchambisha Watoto, na wana nyonywa makamasi kwa mdomo, saa nyingine mono wenye kinyesi ndio unao kula nao. Kunyewa mapajani sio kinyaa ni baraka, mtoto kukutapikia ni upendo, unakuja juu, oooh , mi sio gay, mi sio soft, mimi ndio king wa boma, not a problem, basi fight bato lako na Bida mwenyewe, na ukirudi nyumbani, utakuta nimepika, nimefagia, na nimetandika kitanda, chagua tufanyie wapi, jikoni , sebuleni au kwa wakwe kwenu au kwetu mi sijali, ukitaka tuhame nchi pia nipo tayari kuacha kila kitu nikufuate, lakini kuniambia nivae magwanda kuwa amiri majeshi mkuu na kurudi nyumbani, niiname uniingizie tufanye mapenzi, kidoooogo huoni kama utaanza kushindwa ku funksheni huko tendano na kizazi kijacho.

Hutaniogopa kweli nikija nimechafuka damu, nimeua ua maadui, alafu nna aka 47 na pia nna… alafu nakuvuta nikupige denda, utapenda kweli?, nakuzalia mtoto, nakuachia hapo naenda uingereza kukutana na viongozi wenzangu tupange mipango ya kumshinda adui unae mhanya atakuibia mkeo. Well kuna wanawake bilioni, umeona unichague mimi tu , na kuomba nipiganie vita ya kuwa nawe, am in.

Sikatai wakina mama kuwa viti vyambele, ila sikatai wakina baba kuwa juu au chini, ninacho jaribu kuangalia ni maamuzi kafanya nani, ni kwa hasira au kwa sababu gani, ni furaha au pain. Maana hawa wakina mama nao pia hawataki kudanganywa vyumbani, alafu wadanganywe na makazini, kwamba ka fight wewe ila in the house utaendelea kuwa send au ubavu , na main body ni king, kama tuna pindua meza, tupindue ikiwa na kila kitu mezani, vyakula, mafile na vinywaji, sio tustopishe vita kwanza eti tutoe yaliopo na maana yasiharibike ndio tupindue meza, alafu kinafiki kwa pembeni tuendelee na misosi. Nilisha sema wakimwaga ugali wewe mwaga maji ya kunawa, walafi utawajua tu maana hawajui kula kwa kisu na uma, sasa vijiti vya mchina waliona ni ushamba na ni local, tuone kama watakula na mikono michafu waharishe.

Its funny world, I cant express enough kusema dunia nzima haiishi kwa ukristo na uislam, na pia haiishi kwa kiingereza na Kiswahili, bali emoji mionekano ndio everything, sijui %ge za body language kwenye communications, but I can tell you, tunaelewa maumbo, kuliko lugha inayo ongelewa, wazee wa seeing is believing mna elewa namaanisha nini, mademu au mameni mlio nao. Msinge waona sijui lugha gani ingefanya muwe mmewapitia au wengine kuishi nao kabisa, hata kuachana hamtaki na wengine mmekula kiapo mkiachwa mtajiua.

Usichanganye Maisha na hisia. Inapokuja kuwa kuna makabila hayajawai kuliona kabila jingine, yani kuna watu hawaja wahi kutoka nje ya Kijiji walicho zaliwa, kwa bahati wameenda mjini maka moja kwa moja kwasababu zilizo nje ya walivyo weza, hawakupenda au walipenda ila wamerudi walipo paita nyumbani, hiwe ni westen au dunia ya tatu  popote duniani, kwamba sio lazama na haita kuwa tena na ulazima kusafiri ili uone na kuamini, sio lazima au sio wote wali ingiza vidole kwenye matundu ya majeraha ya christ kuamini kuwa ndie yeye alie sulubiwa na kuumizwa na kufa na kufufuka na gues what?  kawashtukia kuwa binadamu sio watu wema, aka waaga na kuwaambia msiniguse mimi sio mwenzenu tena ni mtakatifu na siwezi kwenda kwa baba nikiwa na uchafu wenu kwenye nguo zangu au ngozi.Sijui kama alikuwa uchi au na nguo maana agano hali elezei alie vumbua mavazi baada ya kujijua walikuwa uchi au kula tunda na kutimuliwa garden ya eden wakatafute kwa jasho na kuzaa kwa uchungu.Mpaka sasa hawaniambii alie vumbua suti na tisheti na jinsi ni nani, achilia mbali dera na vitenge au kanga na sanda.

Well so tumejua kuwa hakuna kufa, tuliweke pembeni hili, tumegundua kwenye hilo kwamba unaweza ukafa lakini ukawa una tembelewa kugeuzwa na kupakwa mafuta au manukato, soo kuna chakula na choo pia kaburini. Good to know, thanks jesus.Ila pia kifo kamili ni kipi?, kuwekwa kwenye pango kama Yesu  au kuachwa kwa nyumba na kuhama mbuga kabisa kama wamasai, maana nyumba ya kimasai baada ya mvua na jua misimu kadhaa tu pana geuka msitu na nature ina jirudia. Ila hawa wanao zikwa kwenye mapango, inamaana wana rudiwa rudiwa na kuishi milele au what? Sijawahi kusikia kuna pango lililo kutwa lina mafuvu ya watu na pia kama kila alie kufa miaka hiyo alizikwa kwenye pango lake, basi dunia ingekuwa na mapango mengi sana ya walk in cementry / makaburi kama walk in kabati fasheni ya kina mama mileni. Ila kuna wanaume nao wamedandia na wana jiita samba, ana chumba kimejaa viatu, si wamachinga tunaita dox doksi, au kabiashara ka mtaji ka masikini, sio kitu cha kuiambia dunia kuwa umenunua viatu na nguo umeweka kwenye fremu za mbao kwenye chumba cha nyumba ya kumbanga na ofisi yako pia ya kupanga.

Tukirudi kuwa hakuna ushahidi wa mfu kufa na kuzikwa na kurudi tena duniani, ila naendelea kushangaa, watu kusema wame kutana na some one anaye onekana au alie fanana na marehemu fulani. Hili kwangu mimi binafsi halija wahi nitokea kukutana na mtu niwaze ni yule marehemu, labda kwenye ndoto na siku nilipo kuwa kwenye beto la Man v/s Machine in Alcohol yani mafuta gari ina kunywa petroli, na binadamu ana kuywa pombe wote wapo spidi, ni kombi mbaya sana. Alinijia ma men fazaneli 2006 alie kufa 2005 akinikaribisha peponi, nikiwa nipo upside down kwenye vita ya dakika kadhaa za kukontrol gari iliyo choose Kwenda back ward, ilinishinda nikajua nimemaliza mchezo ilipo piga kichuguu na kugonga mti nadhani na kutua kichwa chini miguu juu na mimi kuwa mbinguni na Faza Nelly, hapo nilipo sikia sauti ikiita kama kuna mtu hai humu, sijui nilikua dead for how long ila nilipata nguvu za ajabu na kurukia hawa wamasi wawili na kuacha  kila kitu, wakanipa what, dorktaz wana mpa mtu mwenye kuyaonja au yaona mauti, na nilipo kunywa dawa za asili na kulala kwenye kitanda cha ngozi kilichoundwa kwa vijiti. Asubuhi nilikua nao salama salimini, tukiwajibu wapita njia, mabasi kwa mabasi ya mikoani kutoka Tanzania Kwenda kenya, dar to Nairobi, wakiuliza wamekufa watu wangapi kwenye hiyo gari, ma hero wangu wakawa wana onyeshea tu kidole kwa yule jamaa alie kaa pembeni ya moto saa za kajua ka asubuhi akila fegi as if sio yeye muhusika. Watu wana sujudu na kumshukuru alie juu utadhani beto langu na wazungu, machine na na pombe, vyombo vya moto na modern alcohol litaishi 2007 mpaka 2023 nime fight lamwisho kwa my ex QUEEN MEL akimnywesha pombe prince Kai akiwa na na miaka mine (4) nilipo enda kuwatembelea Kenye jimbo langu la kings town au streets – extension ya Swahili streets. K ni block ila najua ni kwa upendo tu. Atanishukuru in 15 years.

Maisha ya kivita na kiuongozi na dini, na mimi nimeyakamilisha nilipo dondosha au poromosha Emojis Language Guide books, mimi sio lagugest ila ameni chororonga njia na kuaachia wana lugha waanza kunyambua nyambua what is,what on emoji world of communication, wakiitaji mchango wangu badae nipo tayari, wakikosea pia nitajua na kuwarekebisha, ila wanaotaka kufanya ili wa make money. Sorry wrong industry kama music, nita toa MAINI yangu bure kwa uma waone wata tengeneazea wapi huo umilionea, ila kama wanataka kula tunda kuishi, siwezi wazuia, wasilete tu u zuke bagi wa na facebook yake au META kwa ujumla, Maan amejenga mabiashara ya mabilionea bure on his billion worth platforms. Anyway. Sina bato na Watoto, ingawa nawachukulia kama Malaika, so wasinipe hasira nikaja kuwaunguza kwa moto.

kwahiyo kutumia media na tech kwa king wa media kumuangamiza ni kama KUMPIGA CHURA TEKE maana every move you make nikama unanipa ishara kwamba tembea kwa umakini, ingawa na mimi nachukulia kama ni intertainment iwe news au iwe music, iwe muvi au iwe tamthilia, redio au tape. Kitabu au article, email au blog. Sio kwamba naelewa yote  ila napenda challenge kwa yale mengi nisiyo elewa, kama mambo ya kuongoza jamii ifanikiwe iwe na Maisha bora. Ningependa kujua what wananchi wanafundisha kina Dama mashuleni na vyuoni, ila mi namsomesha damaresi, Wakati namfundisha matumizi tu aya kesh na mambo mengine madogo madogo ya kimaisha popote iwe levo ya kifamilia au kinchi. No one or not every one need to know it all Penny, shaldon kamweleza sana hili penny ila wakina Makubi fred wananiletea habari za Sheldon ni gay etc, kwani kuwa na msanii gay au kiongozi or mwana familia na profesheni yeyote gay ina kuzuia nini wewe kujifunza juu ya wakifanyacho. Mahusiano yao na Maisha ya chumbani mwao, wafanyayo bafuni au jikoni mwao wewe yana kuhusu nini?. Kwani tunajua ufanyayo wewe kwenye private zako, una jua nifanyayo mimi kwenye private zangu, unajua afanyayo mpenzi wako kwenye private zake unapo kuwa haupo. Au kamera ulizo funga na mashushu na chawa ulio waweka wanaishi kwenye nguo yake ya ndani yake. Maana mengineyo sio kutenda kwa kifizikali tu, mengine hutendwa kwa hisia tu, ndio maana kukojoa haijalishi una tumia kidole kimoja au viwili, vyako au vya mwenzako, ndani au nje kwako ,namaana ndani ya maumbile yako au nje ya maumbiloe yako, uwe mzima au umepoteza hisia zako, havimzuii mtenda kufanya baadae ndio atajua shit, angejua angeomba consent yako. Maji yasha mwagika. U LBGTQ+++ na tarakimu zingine zijazo, maana bado hawaja tuweka watenda unyama au Wanyama au kinyama wala bata na kuku wala Wanyama pori wafugwao na kwenye zoo. Nachojua ni kwamba kama ula kuna mashoga, Kenya kuna mtoto wa mika chini ya kumi alinipigia stori ya kondoo senge. Nikashikwa na butwaa kwamaana Uswahilini kusema tu Neno senge au msenge ni usenge, kwahiyo bora wafanye tu, ila wasi ongelee, tufanye tu, ila tusiongelee, tumekua nao, tumewasaida, tumepishana nao, ila tukiwa nao , hatuwaulizi mambo ya kawaida tu, ilikuaje ukajikuta hivyo, nini chanzo , ni pesa, ni unapenda, ni Imani ,ni ulishinikizwa, are you brain washed, umeabudishwa, ndugu wanajua, unapataje watu wa asili yako au wanao penda mambo yako, kwenye hii jamii una wenzako, vipi una enjoy maisha yako , ukilala una waza nini juu ya hili jambo lako achilia mbali bili na usafiri,viungo vingine viko salama, ubongo una piga mahesabu ya hela na fasheni na kuona rangi salama, una fikiri utarudi nyuma au utaweka gia ya pili na ya tatu kwenye kuendelea au kuendeleza ulicho anzisha, serikali na jamii unazionaje,black and white au unawafikiriaje walio str8, kuna mpenzi au wapenzi wako ninao wajua au wapo kwenye hii jamii yetu mtaa wetu,  kuna meeeeengi ya kupiga nao stori watu tunaowaona wame chukua uamuzi tofauti na traditions zetu haswa kwa maeno au jamii tuliopo. Ili sio mpaka media house itengeneze hela kuwatafuta hawa kuwa hoji ndio tuone kitu kikubwa na cha ajabu. Create your own news not kuuza, jasti kwa kwa kujielimisha, kuna mengi mengi mengi yalio tuzunguka hatuyajui, ila tuna tumia mamia na maelfu kuhakikisha tuna jua Maisha ya Beyonce au Edisheran, au mchezaji mpira flani, achilia mbali ma hiro kama kina Pele na Bob marley. Jay z alisha sema what you eat havimfanyi yeye Kwenda chooni, namimi naendelea kusema tundu la kwanza la kumuingia mwanamke ni pua zake, sasa unaingiaje, na kwa kutumia nini, hayo ni mengine angalia tu usje uka chapwa na mwiko.

Kwenye kuiweka jamii sawa haswa unapo kuja umatendo wa personal choice siku zote vita inasaprise dunia, na kuwaacha watu midomo wazi, maiko Michael Jackson alipo taka kuwa mzungu alizani, kubadilisha muone kano wa pua na rangi ya uso vinatosha, akakuta nooo, it is more than that, sisemi it bad to like others, napenda wazungu, siwezi kusema I wishi ningezaliwa mzungu, na wala simlaumu atakeyesema ange wish kuzaliwa mwafrika au mwashia au mwarabu, swala kuu ni kupata wanachopata jamii fulani, nadhani ndio kinacho fanya watu watamani ku push and push mabara yao kuwa karibu kwa sasa nasema na Ulaya, ingawa wengine wana waza Amerika, ila na waamerika wana waza kupushi kuwa yuropa , ilihali waropa wana waza wange pushi wawe closer to Afrika na wengine wana waza dunia yote ingekuwa Kijiji kimoja, ila ukirudi kiundani, una kuta hao hao wanao taka mabara yaungani wana pigania vinyunga, vimipaka vyagarden miti na maua, au fensi ya Jirani ime egemea , na kuzidi upande wangu kiasi fulani , mpaka hawaongei miaka na miaka , kizazi na kizazi, Babu yangu mzaa mama , na kaka yake wame rithi kiwanja kimoja ila wamegawana na wapo radhi wazunguke Kwenda upande wapili, kuliko kukatiza kwa ndugu yake, just kwa sababu ya land na hao hao mpaka kufa ndio wamekuja kuelewana.

Ila ungewauliza juu ya kuchukua liver na kuipusha Afrika kusogelea Ulaya wange ungana nakusema you are genius. Niyaache ya familia, twende kwenye kuongelea, NENO as AGANO LA MWISHO lita pigwa vita sana haswa simba wa tandale Nasibu Abdala alisha sema mti wenye matunda mazuri NDIO UNAO PIGWA mawe. Nikiangalia Maisha yangu tokea utotoni ni vita tu. Iwe za kifamilia mpaka kishule mpaka kikazi mpaka kikijiji, mpaka kimji, mpaka ki mikoa mpaka kinchi, mpaka kidunia, achilia mbali familia, ndugu, jamaa tuna makabila mbali mbali, iwe vita ya rangi au lugha bado na pambania nadhani una elewa unapo soma huu waraka, maana sio ufunuo tu bali ni muendelezo wa dunia. Sio kwamba NIME DHAMIRIA KULETA KIPYA nooooo itachukua miaka 4000 tena kuweza kufikia tulipo fikia na kwakuwa nipo pekeyangu itachukua miaka bilioni 4 population ya watu watakao niunga mkono, mara miaka 4000 kuweza kupata muda frame work ya walio tutangulia kufanikiwa kufikia hapa tulipo fika.



Kuandika na kunyambua u lbgtq+ ni topic nzito sana katika hili AGANO ENDELEVU as hawana thehebu wala dini ilio sema njooni kwangu mlio wasenge wasagaji na wakosefu mlio badilisha jenda na hisia , mlio fuata na naku explore hisia zen, na kujaribu kujijua nakujitambua wenyewe, sio mpaka mtambuliwe au kuvumbuliwa na mtu au media kwa maslahi yao binafsi Ni ma Vasco Dagama wa hisia nakujitambua kina Livingston wa real love, real life, mna upendo wa  kweli maana mmeanza kujipenda wenyewe. I use to call my self a western bitches explorer nkakuta kuna redlight districts, nika change tu western women explorer nikakuta wamesha vumbuliwa wanaitwa babe , wife, bird, honey, etc nikaona shit, wacha niendelee tu kuwa King wa Swahili land, inamaana hilo sikuitaji kuwa tittle for, as it was and still in my blood.

Kwaiyo nikaamua tu kubase on ONLINE KING as THE ONLY KING WHOM INTRODUCED HIMSELF AND LET THE WORLD KNOW whom he is via online platforms, I mean the www.Mot he app’s and personal private or commercial websites au blogs kueleza whom am I wengine wa make money, wakati na piga mihayo sijui mimi au mwanagu Dama na mama yake wana kula nini na maisha yatakuwaje jumatatu. Adele alisha niburuza sana kama najisikia nipo nyumbani away from home, kwenye wimbo wake wa HELO 2016 plus somewhere there ni kiwa kwenye beto la kina jayz, kanye na queen, nikipigania tittle langu kwenye burudani, wakanikubali ila live waka nikataa wakasema wewe sio msanii ulivyo fanya vyote vinasema wewe ni ISIS nikalia sana kwa uchungu, waka sema nooo.


Well utafanyaje, kama Jesus nikasema kama hakuna riziki basi sitoi tena majasho na machozi kupigania nipewe medali, as am king. Basi nitagawa medali, na ya kwanza nitampa Bida. Nikaamua Power ofWriting in one A4 nikapanga nyimbo zote zitakuwaje ya kwanza mpaka ya mwisho, na kazi iweje na kuisimika kwenye WALL OF FAME vitu vya kijeshi sana, kama umekulia kwenye Maisha ya Kiswahili, Maisha ya kidhiki dhiki ya kukata magazeti na picha za vitabu kuweka ukutani kwa gundi kwasababu mbalimbali, ikiwa moja  ya sababu ni mapenzi ya picha na maandishi mtu ana picha alafu hajui yanani au yanini, ilipigwa wapi na kwa nini at the end of the year, hakumbuki hata aliibandika ya nini, anatimuliwa na mwenyenyumba kwa kuchafua ukuta kwa misumari na magundi na ma big G bublish kwa kizazi hiki mna ita bubble gum. Huwezi hata jitetea licha uliweka ukutani za nini kwa maana huna written back up, wewe mwenyewe hujui ni picha ya nini unayo kwanini, yani huwezi hata kukumbuka, uliibandika lini na kwa nini. Any way, wengine utumia kuzibia nyufa au matundu ya wadudu, kama wosps na mchwa au sisimizi, lakini wengine ni hakuna rangi, na pia nyumba ya udongo haipakwi rangi hivyo magazeti ndio everything. Kwa maandazi na kwa rangi, kwa kuchambia na kupata news ,kwa moto wa jikoni kupikia na kwa kumulikia. Wengine wana magazeti yanatosha kusomea in the darkness, una shangaa kwanini naijua biblia, umewahi kuona biblia ina somwa chini ya mwanga wa mbalamwezi?

Nadhani sihitaji kuongelea power of writing THE ALBUM ipo kwenye platform zote na damaresi.com, sasa hapa ndipo ninaposimika vita ya 2023 ya WAR OF FAME froma what the funs and follower use to think it was a WALL OF FAME. Sasa mimi mwenyewe sijawahi au sina ufemas , nataka kuwaundia ukuta nyie muwe ma famous, HUONI KUNA HITILAFU HAPO, majina haya ya kuchunguza sana rangi na vyeo vya kupewa vibaya. Nilipo jiita king

waliibuka making na makwini wengi sana. Lakini nilipo wanaangalia au wauliza au kuona wakihojiwa, walitamka majina na biashara zao halisia, ndipo nilipo jua kumbe ni slogans tu zao ndio ufalme na umalkia, ila hawawezi kuregista hata kampuni kwa jina hilo au kuunda brand ya product ya aina hiyo. Nikajua kumbe ni CUSTOMERS kwamba wanafurahia tunavyo waita au wasifia MTEJA NI MFALME sasa mfalme anae toa huduma au anae hudumiwa? Na kama mhudumiwa ndio queen au king SASA UNA LIPA YA NINI kwahiyo wewe ni mteja KING /QUEEN at that point ni yule mtoa huduma . MTUMISHI ndio king, as we always work kwa ajili ya uma. Sasa angalia usije ukaanza kuwaza na kudhani watoa huduma wote ni ma royal na ma loyal , kuna tofauti kubwa sana hapo kama kwenye Malaya na Himalaya [ he Malaya] yani akienda huku mfalme , akienda huku mteja, akienda huku ana taka akienda huku anachota. Kifupi Malaya tu. Baridi mara moto hana msimamo.

So inapo kuja kwa hao ma king/ queen watoa huduma, ikatokea wamepokea shukrani, waka itunza, iwe inform of anything hata hela, wakaiheshimu na kuiweka kama kumbukumbu na kuitumia kwa sehemu spesho tu hasa kama kutoa hotuba na kusema ukweli kilicho tokea, au hata kuto soma. Huyo ni real one, ila yule alie itumia ile gratitude au tip au thanks ya service akaenda akaoga na kutupa uniform, akavuta usafiri mkali na kuwahi kiwanja fulani. Labda pia ni cha wanapokutana au jichanganya ma king na watu wao. Akaenda kutumia ile asante ya huduma alio toa kuonekana kuwa nayeye yupo kwenye level zile, huyo ni mwivi, jambazi wakupigwa mawe afe kama ingekuwa ni torati au maandiko ya kinaijeria / uislam/ maana Swahili land na arabuni sijawahi sikia wanajua tu wrong thing hawafanyi, wanaofanya wana same hewa. Life goes on. Yes sasa mteja kawa mfalme na mfalme kawa mteja , ndio maana sikutaka kupea ufalme, NAJIJUA MFALME na kwambia MIMI NI MFALME it up to you kusujudu au kupiga goti au ku shake hand sipendi tano, ila aina zingine za kumkubali mfalme nazi explore nitawajuza nime pokea ZIPI NA ZAAINA GANI KWENYE chapta na vitabu vinginevyo vijavyo Bida3:6:9

Kwahiyo yes power of writing ilikua ndio hitimisho la kwamba I am THE RITER NOT THE OTHER ONES wanao sema wao ni wasanii leo , kesho waandishi wa nyimbo, next day, madensa, haija kaa vizuri, beat maker, hajarudi huku, ana lebo, mara anataka kuwa actor  na muvi zake anazosema kafanya ndefu sana ni dakika 3.33 na ana jiita famous , ingawa imekaa kwenye chati wiki tatu tu , tena kwa shida, rushwa nyingi, hawasemi, video ya dakika 3 na sekunde 33 ime waingizia kiasi gani. Zaidi ya kusema mwana mziki mwenye mafanikio Afrika sasa ivi ni mimi, ukitaja matajiri watatu wa afrika na mimi nimo na kwenye blog zao za bei rahisi, za kuhongana. Unaaambiwa Diamond ni Tajiri namba 23 Afrika, sijui wazungu wali nunua madini kwa kina nani au ndio tunasema tumeibiwa. Any way tuache hiyo topic, maana nitanyambua as soon as malakika wata kapo niambai akuwa ni wasaa mwaka wa kuielde duania kuwa ALIE NUNUA MADINI YA WAZUNGU WALIO IBA AU BEBA AFRIKA NI NANI maana kawapa mihela mingi sana mpaka wame kuwa ma leader wa good life na kumzidi alio nunua hizo gold na diamond zinazo ifanya dunia ikae macho masaa 24/7, siku 369 kulinda wasi ibiwe tena, maana KAMA WALIPATA MIHELA MINGI NAMNA HIYO KUWA FANYA WAWE MATAJIRI WA KWANZA DUNIANI sasa sijua nchi yao ili jegwa na vibaraka gani, na wali lipwa nini au ndio ile inayo sema WALIPO MALIZA KUJENGA WALIFUKIWA KWENYE MSINGI kama kufanyia tambiko nyumba au kaso liwe imara na la kudumu milele, SASA NILIDHANI WATUMWA WALIJENGA Ulaya na Amerika. Nisiongelee sana US NA CANADA. Ila kama walifukiwa kwenye ma dangen ma danjeni, au room za chini, as wahindi wali kaa jikoni na dining karibu na kwa masta. Sasa hilo dangen tu alilijenga nani, okay na hilo jumba mfano niichukulie London aliijenga mtumwa gani? Maana sema watumwa, kwaiyo Kama walifukiwa kwenye msingi wa ujenzi, walikuwa wanafufuka kujenga, alafu wana rudi tena chini au what?

Tuseme tu ukweli, kama miaka chini ya miatatu kulikua kuna mtumwa anajenga magorofa Uingereza na Yuropa, basi Afrika ingekuwa ina ma injinia wakali sana by now just kwa upepo tu, instinkti tu, yani haingehitaji kuwa damu ya mjenzi ndio uwe mjenzi. Kama mimi kuwa mwandishi wakati wazazi na walezi wangu wengineo hawakujua kusoma wala kuandika mpaka yalipokumbwa na mauti. But am a writer of NENO sio mimi niliesema WORD has to do with GOD ni agano la kale na jipya. Mimi nime sema NENO = MUNGU  au nimetafsiri WORD =MUNGU and naendelea kutumia NENO kumtambulisha Mungu wenu au Mungu wetu tuweze Kwenda sambamba bila kupishana pishana bila unafiki nafiki,

Maana kwenye vita ya ufemas niliacha kupigana na ma hardcore hipapisti wa A-town  hawajai hata mkononi, nina 64 tu on damaresi music platform na kuangalia artist milioni 6 wa Tanzania mara nchi 7 za EAC plus nchi 7 zinazoizunguka East Afrika community wanaofanya nchi 14 za Kiswahili, zenye watu milioni 450 plus . Kama waliamua kuweka maroboti nyao wiki pedi siingii tena , saivi naingia kwenye web individuals za wahusika mfano nchi govement web na vitengo husika, mfano napotaka statistics ni vizuri kutafuta statistic websites za mambo hayo kuliko wiki pedi and other charity au commercial websites , as sijui malengo yao ni nini, some are just as good as any thing kama unaangalia general things, other are JUST LIKE PASSPORT NA LAMI YA MUINGEREZA na reli ya Afrika, havikujengwa kwa ajili ya maendeleo ya Afrika, na walipo VUMBUA NDEGE NA MELI  hawakulipua na kubomoa, bali wali ditch plan naku replan, naku reshape their plan na NDIO UZURI WA BUSINESS PLAN always is revisited hata weekly if necessary, ila at list twice a year , nakama kuna njia zenye faida Zaidi, basi zitaendelea kufanywa na kufuatwa Zaidi.

Nimeshangazwa na ujenzi wa namanga boda, toka aondoke Mrecha na Tika, nitangaze am the king of the place mpaka kesho sijui hata nimevukaje palivyokuwa so secure, soo confusing, soo rushwa smelling than ever before, palikuwaga open place unaona kule mpaka kule. Smagglers and people trafikers, Ila leo fixers wana operate on industrial level. Pamekuwa complicated kuliko Nairobi airport na kumbuka nime ishi Namanga sio Jomokenyata airport kuu ya Afrika ya kwanza. Achili south na Egypt au uko Ghana kwenye ma golden plotes.

Kutumia media uniambie Amerika ina trilions of trilions of tones of gold, wakati huo huo una ambiwa Russia ina ongoza kwa gold na bilionea au milionea wengi wapo Russia, ili hali muingereza ana kaa kimya , huku pound ikiendelea kuitikisa na kuiongoza dunia, sio euro wala dola. Mi nakuwa kama Kontawa nachekaga tuhuku nikifanya yangu. Nasema kuwa MUGABE WAS AND STILL best friend wetu UNITED KINGDOM and Europe labda na USA, alale kwa amani.

Kuyumbisha dola na kuniletea kina Sam from Zimbabwe na kuni letea kina Hajis studio from Zimbabwe,  ulikua ni umama, tuna ujinga kama kawaida na sema vita yangu na ubaguzi wa rangi haiingiliani na historical war au believes, ni rangi za kimacho tu walizo nazo watu , mi naangalia za kiroho. Wameogopa ufalme, wakaogopa umandela, sasa wana ogopa uislam, wanaogopa burudani, wanaogopa uchumi, wana ogopa kula na kulala, wanakimbia kimbia tu hawajui wafanyeje maana ingekuwa vita ya 121 ningemwaga mpinzani, hizo nimeshinda sana utotoni mpaka utuuzimani, huwaga nawachapa mpaka wanakuja batalian, wanao nipush au kuotea nikiwa sipo kijeshi au kivita sina shida nao, ni sawa na QUEEN ANITA alipo nipasulia Sahani ya chakula kichwani, waswahili tuna sema kofi la mpenzi haliumi. Linauma ukijua kuwa ana tumiwa anaendeshwa kwa fault ya Maisha yangu kuna watu walitegemea wange fanikiwa na kuupiga mwingi juu yangu, labda kuwa saliti ndugu na jamaa zangu, au kufanya swala ambalo lingewafuraisha wao, na kuona investment na uwekezaji umeenda kama ulivyo pangwa juu yangu.

Kama umeangalia angalia Iron man na The Hulk movies unajua au unapata picha kwanini naweka tags za THEY BUILT A MONSTER sasa hii ni meseji yao ila KWA VIBARAKA nawawekea tag ya KUMPIGA CHURA TEKE kwamba kila wanachofanya, they know what is gonna happened, wherever there is an action will be a reaction.

Hawakujua Kama technoloji itapindua meza, hawakuelewa kwamba dunia itaenda ilipotakiwa kwenda, sisemi ufahamu wangu ndio wa kwanza Kwenda agains na matakwa ya walio tangulia, ila wasinihusishe kwenye mambo wasioyajua. Wao wafanye wanayo ambiwa tu haina shida, as mimi nafanya nayojisikia na kudili na ninayo waambia. IT IS NOT YOUR FAULT hakuna kazi isiyo na challenges na majaribu, as we say sio kila siku ni ijumaa, kuna Green Mondays na kuna Bida days husi zi mix hizi memorabo kalendandaz.

Watumwa wakae kwa amani maana baada ya miaka 300 sasa kuna hope. Samahani mataifa mengine SIKUTAKA KUWA LETEA VITA MAKWENU AS MNGESHINDWA na vita ya 3 ya dunia it is not on my vicinity site since wamekubali yaishe, ingawa vita ndogo ndogo zinazo endelea nikianza kuzihesabu na madhara zinazo leta mfano tokea nime somea utalii na kuanza kazi, kusinge kuwa na mpumbavu ana yumbisha yumbisha dishi, na kuni fichia white, just imagine ningekuwa wapi , umbali gani na Pj zangu, sasa wana ona donge hawataki nitumie miundombinu yao kufanya mambo yangu, wanataka nianze from scratch wakati kuna ma milioni ya walio wafundisha wana ujuzi naweza au ningeweza watumia. Land au markert place zao na mashamba yao, hawatapenda nipitie humo kutoka, wanataka niwe kama kina Jef, Jack na Elon ili waweze kusema nimefanikiwa kupitia wao.


NENO lina endelea

The good thing dunia knows whom am I before I even know myself. Sikujua this is me, until the time I know who/ whom, I real am. Nilikuwa nishafanya mengi kuliko uwezo wangu kuliko malipo yangu, nimesha poromosha ngome kukuu kadha wa kadha , nime yumbisha uchumi wa mataifa, nimeua wafalme na machifu, maana hawawezi kujiuzulu kama mamia kwa maelfu wa viongozi wa kiserikali na dini na professsionals zingine walivyo jiuzulu, au kushukuru muda wao kuisha na kupita.

Nimepigana vita za kiimani, kwa kuangaliatu, nimepigana vita za kisayansi na techno;ojia bila kujijua. Vita  nilizo tangaza online , vita nilizo pigana offline , vita ninazo pigana fizikali na kimentali, kiimani na kimaandishi ni nyingi, mabato ni daily, haya hesabiki, vita between myself, vita before I wake up, na nikiamka na kuta Malaika wamesha nishindia masikini wa Mungu, hawahitaji hata medali wala kuwa painted on back or head kuambiwa well done, Nice work. Kifupi their gone. I always say we will meet again

 

Huu waraka nime kuwa niki ufanyia kazi maisha yangu byote, ni waraka waki sayansi na tekino;ojia, ni waraka wa kisasaa

Neno ana majibu

Sio kwa sababu nime fundishwa au Jifunza kuonge kwa herufi, silabi na tarakimu, then nipo chini ya alienipa hizi, alie nionesha hizi nooo, its just like river, maji wanasema hayapandi mlima, nasema inategemea na pressure au spidi ya mteremko, na unaongelea mlima gani, maana hakuna mlima mrefu duniani  usio pandika , na kama binadamu kapanda wanyama wakila aina, wame panda wadudu, miti na mawe, upepo na mawingu, hali za hewa na vinginevyo nisivyo vijua. Kwanini mawe yasipande, yame mkosea nini muumba[ yesi] mimi ila sio muumba mpulizia pumzi, bali muumba wa kufinyanga finyanga tu kama wengine walio finyanga vyao tunavyo vitumia kwa Maisha ya kila siku kuendeleza dunia. Naongelea miungu wa mabenzi, vijiko, ndege za kivita, ngalawa na suti au pain killers.

It is ok kuwa hujui, na kujua kuliko wengine wanavyo jua na kuwa hawajui kuwa una mengi unayo yajua.Katika haya Maisha nime Jifunza kitu kikubwa , no one is real famous kama wanavyo sema kwenye familia kila mtu nitajiri , kila mtu ni famous, kila mtu ana heshimika na kukubalika kwa uwepo wake, awe ana tamba au ndio alie anzisha boma, awe paka, mbwa au kuku anae subiri mgeni akija siku za Maisha yake zitaisha , lakini at least ata heshimika  na kukubalika, na kutafutwa, na kukimbizwa, na mapaja na viungo , mpaka mchuzi wake, vita mfanya famous kwa siku, wiki, mwezi hata milele, maana kuna watu watasahau vyoooote katika siku hiyo lakini hawata msahau kuku na ufamous wake. Awe alikua kuku wali, au ugali, kuku ndizi au kfc kuku, baga au pilipili chicken, kapikwa kabila lolote, point ni kwamba, kila kiumbe kina dakika 15 za ufemasi, sasa usitake kupitiliza zako ziwe zimezidi mpaka miaka na miaka, wengine wakose kupata hizo dakika 15 za kuwa on top.

As I said, dunia ni kubwa na sipiganii yote kunielewa na kunifikia, ila nachojua  kwa kila nifanyacho nawagusa  mpaka wasio na uhai na pumzi, as am not here kwaajili ya kapeti jekundu tu la wenye tv na redio au laptop na smartphones au wanao jua kusoma magazeti na wenye muda wa kukesha vijiweni kupokea hadithi. Ila najua mimi ni kama tool hadimu, sio maji maana sijui kama mawe yana hitaji maji kuishi na upepo au moto. Hivyo nika kiungo au kitendea maendeleo, mmii ni kila kinacho mon’gonyoa udongo, na kusababisha msongamano wa vumbi kuwa mlima na kushifti kama vumbi la Serengeti, Ngorongoro wana sema lina hama na kutembea, ila kwa miaka mia halija maliza hata theluthi kilomita, sasa usidharau mwendo wa wengine kwakuwa wewe una tumia jeti kama ya Elon , mask na ukienda mars hujui uta rudi vipi, hongera walioenda mwezini , maana wana rudigi, na kutupa ushuhuda na kuleta zao findings.

Duniani kuna milima mingi na Maisha nime panda milima yangu ya fiziko kabisa, sawa mingine ilikua ni ya kuumbwa na mchwa wana ita vichuguu, lakini kwa wengine ni kama kilimanjaro au Everest so usidharau mlima wa mwingine kisa wako mkubwa kwako, kuna walio goma kuipanda milima mikubwa duniani, na Kwenda kupanda Oldoinyo lengai, kisa unaitwa mlima wa mungu, na ni kweli kuna wamasai wana iishi pembezoni , hawawezi hata kuusogelea au kuuangalia tu bila sababu, mpaka siku wanapo taka kuongea na wano mjua wao kuwa ndio muumba maziwa, maji, ng’ombe na ngishu. Niliwapeleka Xplastaz na mduchi jumanne, kupanda kufanya video, nilio ibariki,ki umungu, ila iliwakost lives na kisa kuwa famous tu, kuacha misingi ya hip hop burudani na unabii. Siku panda mlima, nilikesha chini , nikiwasubiria wafanye yao, nilimaliza tour yangu nikawa sponsor wao hiyo project ilipoisha yalotokea  ni historia, tuta kutana nayo kwenye miaraka mingineyo ya King Bidder.

 

As I said, dunia ni kubwa na sipiganii yote kunielewa na kunifikia, ila nachojua  kwa kila nifanyacho nawagusa  mpaka wasio na uhai na pumzi, as am not here kwaajili ya kapeti jekundu tu la wenye tv na redio au laptop na smartphones au wanao jua kusoma magazeti na wenye muda wa kukesha vijiweni kupokea hadithi. Ila najua mimi ni kama tool hadimu, sio maji maana sijui kama mawe yana hitaji maji kuishi na upepo au moto. Hivyo nika kiungo au kitendea maendeleo, mmii ni kila kinacho mon’gonyoa udongo, na kusababisha msongamano wa vumbi kuwa mlima na kushifti kama vumbi la Serengeti, Ngorongoro wana sema lina hama na kutembea, ila kwa miaka mia halija maliza hata theluthi kilomita, sasa usidharau mwendo wa wengine kwakuwa wewe una tumia jeti kama ya Elon , mask na ukienda mars hujui uta rudi vipi, hongera walioenda mwezini , maana wana rudigi, na kutupa ushuhuda na kuleta zao findings.

Duniani kuna milima mingi na Maisha nime panda milima yangu ya fiziko kabisa, sawa mingine ilikua ni ya kuumbwa na mchwa wana ita vichuguu, lakini kwa wengine ni kama kilimanjaro au Everest so usidharau mlima wa mwingine kisa wako mkubwa kwako, kuna walio goma kuipanda milima mikubwa duniani, na Kwenda kupanda Oldoinyo lengai, kisa unaitwa mlima wa mungu, na ni kweli kuna wamasai wana iishi pembezoni , hawawezi hata kuusogelea au kuuangalia tu bila sababu, mpaka siku wanapo taka kuongea na wano mjua wao kuwa ndio muumba maziwa, maji, ng’ombe na ngishu. Niliwapeleka Xplastaz na mduchi jumanne, kupanda kufanya video, nilio ibariki,ki umungu, ila iliwakost lives na kisa kuwa famous tu, kuacha misingi ya hip hop burudani na unabii. Siku panda mlima, nilikesha chini , nikiwasubiria wafanye yao, nilimaliza tour yangu nikawa sponsor wao hiyo project ilipoisha yalotokea  ni historia, tuta kutana nayo kwenye miaraka mingineyo ya King Bidder.

 

This is a project i have been worked on. I willGive this project a brief description asap. Karibu.

Maisha ya John

Neno Life

Dunia ina mengi mazuri na mengi matamu, dunia ni nzuri sana na ina upepo mtamu, Just try to find pozishen yako, maana huwezi kuwa all places at all time, no matter who you are. Sijisifii kuandika kwa lugha zisizo za kusomeka, ila kamwe sinto slow down kuandika kwasababu ya wachache watakao nipinga na kukadhania kusema alipita kiongozi mwandishi asie na elimu asie eleweka.

Natengeneza ajira, natengeneza sababu ya wengine kuja kupata cha kufanya huko twendako, labda navyoandika havina maana sasa na havieleweki kwenu kwa uchaguzi wangu wa alphabeti na mpangilio wake, ila sorry, ina weza kuwa ni maandiko kwa wenye ufahamu wa hali ya juu, au wenye uelewa wa tofauti na nyiyi au wewe, ndio maana bibilia na juzuu au kuruani, kila mtu anayo, lakini anae elewa na kulifanyia kazi, kupata wafuasi ni mmoja tu au watatu kwenye kila jamii kwa kila era.

Narudia kuwa tuna ishi kwenye AI world , so labda sio tatizo langu mimi, ni tatizo la waumba software  bado wapo nyuma ya uwezo wao wa profesheno, kwhaiyo haiwezi kukombain niandikayo kwa lugha niandikayo iwape maneno yalio kamili kwa maandishi,sauti na mionekano au vision. Ila labda watakuja kizazi chenye upeo wangu na hawata hitaji hata kusoma kumaliza ndio waelewe nacho tenda au eleza ulimwengu, Kama mimi jinsi nilivyo acha kuisoma biblia, na nilivyo pishana na aina nyingine za dini, na kuchagua, sio dini inayo  nipa Imani, ila ni mimi natakiwa kuelewa Maisha yalo pita ninayo ishi, yajayo na kutabiri mbele ya Maisha yajayo au wajao, mfano mzuri kusema life after death. Simaanishi baada ya kifo cha mtu binafsi, bado nalifanyia kazi hilo. Na maanisha kama vita ondoka vyote vilivyopo ulimwenguni, kuta baki nini, atabaki nani. Hivyo ukichingulia kwa jicho lako la tatu, utaona hakuna kitu kifo, ila kuna neno tu kifo, ambalo ukitafasiri kiuzuri  ni mabadiliko tu ya Maisha ya viumbe na Wanyama, ila visivyo na pumzi, vinavyo tubeba na tuna jenga juu yao, kuishi on them wala hawa jali na kuogopa au ku fear tunavyo fear. Siwezi ongelea miti na wadudu. Ila naweza ongelea mawe, upepo na maji, yani mchanga pia. Miamba na the earth kwa lugha nyepesi.

Tunaishi juu yao , ila sija wahi kusikia charity au serikali, iliounda timu ya kuwajali mashujaa hawa a.k.a the unsung heroz wanao tufanya tujione miamba na kusahau tuna jigamba juu ya miamba, kwa kuwa sisi sio miamba, tume bebwa na miambasi, silent miamba wa kweli wasio jigamba.

 

Narudia kuwa tuna ishi kwenye AI world , so labda sio tatizo langu mimi, ni tatizo la waumba software  bado wapo nyuma ya uwezo wao wa profesheno, kwhaiyo haiwezi kukombain niandikayo kwa lugha niandikayo iwape maneno yalio kamili kwa maandishi,sauti na mionekano au vision. Ila labda watakuja kizazi chenye upeo wangu na hawata hitaji hata kusoma kumaliza ndio waelewe nacho tenda au eleza ulimwengu, Kama mimi jinsi nilivyo acha kuisoma biblia, na nilivyo pishana na aina nyingine za dini, na kuchagua, sio dini inayo  nipa Imani, ila ni mimi natakiwa kuelewa Maisha yalo pita ninayo ishi, yajayo na kutabiri mbele ya Maisha yajayo au wajao, mfano mzuri kusema life after death. Simaanishi baada ya kifo cha mtu binafsi, bado nalifanyia kazi hilo. Na maanisha kama vita ondoka vyote vilivyopo ulimwenguni, kuta baki nini, atabaki nani. Hivyo ukichingulia kwa jicho lako la tatu, utaona hakuna kitu kifo, ila kuna neno tu kifo, ambalo ukitafasiri kiuzuri  ni mabadiliko tu ya Maisha ya viumbe na Wanyama, ila visivyo na pumzi, vinavyo tubeba na tuna jenga juu yao, kuishi on them wala hawa jali na kuogopa au ku fear tunavyo fear. Siwezi ongelea miti na wadudu. Ila naweza ongelea mawe, upepo na maji, yani mchanga pia. Miamba na the earth kwa lugha nyepesi.

Tunaishi juu yao , ila sija wahi kusikia charity au serikali, iliounda timu ya kuwajali mashujaa hawa a.k.a the unsung heroz wanao tufanya tujione miamba na kusahau tuna jigamba juu ya miamba, kwa kuwa sisi sio miamba, tume bebwa na miambasi, silent miamba wa kweli wasio jigamba.

 

This is a Neno you’ve reading. Here will be some sort of brief description asap, Karibu.

More BoutNeno kwa Maneno

Kwenye Maisha ya kila siku ya ubinadamu, nilisha gusia, kuwa uthamani wa gold, diamond, na shaba na mengineyo, kuwa ni mambo yale yale tu ya Imani. Nilimweleza Mr Daniel Mrecha, kuwa kama nita muweka kwenye maandiko ya Agano la Mwisho as nimesha ongea na Mama kwa kuwa ndio Mungu wangu wa kweli, achilia mbali na Baba walio ongelewa kwenye maandiko yalio pita ya wengine. Ila sote tuna tokea kwa mwanamke. Sio kwamba naongelea mapenzi ila sikwepi kusema hongera zenu, mpendao mapenzi, kwamaana mme chagua upendo, na hicho ni kimoja wapo katika nguzo za maagano yote yalio pita walicho kigusia na nikakubaliana nacho. Ingawa walijikanyaga kanyaga na kuchanganya, kuingia kwenye u gay na ukahaba na mawili matatu kama kuzaa na wajakazi, nazani I ule mfumo dume , ambao hata sasa miaka ya 2023 ndio umeshika hatamu, umeingia kwenye hisia za wanawake, wamazidisha upendo  kupitiliza ule wa asili UPENDO WA MAMA wao sasa wanataka mali na madaraka, na hili hali wana iogopa vita, ikifika muda wa kupigana wanataka wanaume ndio waende mbele. WANANI CHANGANYA utamuongozaje anaekupigania wewe uwe madarakani. YANI UNA ONGOZWA AU?  Una heshima ya uoga, uta mfokea au kumtumbua HERO alie kushindia vita ya uwe madarakani. Kumbua 66% plus ya mashujaa ni ma craize, ndio maana wana fanya maamuzi yanayo wapa ushindi, AMBAYO upande wapili wanaona ni ya kinyama na kikatili, au ni ya hali ya juu ki tech na kiakili, na kusarenda wasiangamizwe. As RULE OF WAR ni ushindi na kuwa mshindi inabidi uwe na Ushahidi au usimame mbele ya ulio washinda. Sasa huwezi kuuwa watu kuwaangamiza bila kuwapa muda au chansi ya kusarenda, as kutakuwa hakuna umaana wa vita. Kifupi DUNIANI HAKUNA VITA kuna njaa, tuna shida za hapa na pale na kuboeka, na watu kutamani wasivyo navyo na kutojua njia muafaka za kupata watakacho, wengi wanatumia maamuzi dume kupata, ingawa kuna maamuzi jike ya peni na kalamu, au audio na vision , kwa erahii, sijui sana juu ya ijayo, as tumeshaona vita za Obama na Osama wametumia drone. Vita ya ajabu na ndogo kuliko zote katika Maisha yangu, ilio piganwa kidada , kwa gharama ya media tu, bila meli za kivita wala mitutu.


Sikuona mauaji ya osama = ila kwa maandiko yangu yalio pitia face book, nilisha tabiri ujio wa Obama kuwa nis awa tun a osama , nilisema ukitoa bkwenye Obama uka weka s una pata odsama. Sasa kama wao imewatumia mataifa na mataifa miaka na miaka kupigana wao kwa wao, kudemolish majengo kama ya trade centre ambayo sita kaa niyaone tena live, hivyo sina haja ya Kwenda amerika, as am not a business mana any more. Hiyo vita mimi nili ipigana kwa dakika tun a nika shinda na nika watangazia na kuwaacha wapambane na Malaika wangu. Kumalizia kutegua mabomu. Ila inajulika wazi, wali poromoka wengi, na kupandishwa wengi madarakani, idiots na ma mast awa vita mbali mbali, wote walishiriki ila wakajua tu, wana pigana na mtu ambae haone kani.

Muislam na mkristu, hiyo vita kaianzisha nani, saw ana diamond simba wa tandale na king wa tatuu alie jiita tembo kwakua hajui dunia nzima ina ENZI TATUU ZA KIAFRIKA kutokea kwa wamakonf=de ndio kabila pekee dum=niani nalo lijua lime jikita kwenye real art za Imani, kuona kama mawe yata pita, mapango yata pita, dunia ita pita na kitakacho bakia sio milima[soo sorry samaba mapangala] kwamba tutabakia binadamu, nak ama sisi tupe, ina maana kila kitu kita kuwepo, refaa kwenye maandiko ya walio tangulia, kwamba MUNGU ALISHA SEMA  nipo kila mali, popote ilipo nami nipo. Na Yesu aka malizia kwa kusema NILIPO NATAKA NANYI MUWEPO hilo sio swala kubwa sana kwenye MAKONDE TRIBE kwamba waliona tukijichora na kujiweka ndonya, ita scare craws na kufukuza mizimu ya kijinga mingine, wasitusogelee, ili tuweze ishi kwa amani. Na nini cha maana kwenye Maisha Zaidi ya kula, kulala, au kulalana kwawale wanao zani upendo nit endo, ukishindwa wana hama , mbarikiwe. Ila mwanao akikwambia hakupendi una fanyaje, una hama nyumba, una mwamisha mtoto au una kata matunzo au una mtenga au what. ?

 

This is a Neno you’ve reading. Here will be some sort of brief description asap, karibu.

Maisha Ya john na mitume au manabii

Mitume na Manabii wa 1900 to 2023+

Wamakonde na ndonya, tuna ona kwenye muvi za kutisha kama KONG na zingine ZA KUWEKA waafrika kwenye scenes za kutisha au za kishetani, au za ubaya. Sio mbaya kwa maana maagano yalio pita yalisha aminisha BLACK IS DARK na hakuna anae taka uishi kwenye darkness ila mbegu zote duniani huchimpua kutoka kwenye udongo au sehemu nyeusi, sio kwenye mwanga. Video , sijui sana ila picha nzuri zilizo tulea kabla ya kuingia teki na iphone za macho matatu, kulikuwa na negatives, nazo zilikuwa zina developiwa kwenye darkness ndio tupate picha ukiweka mwanga, weupe , au umalaika ZINA UNGUA so now you know. Ukimuona Bida ana hang alone sio kwamba  ana jisikia, ila ana ogopa kuunguza picha msije mkasema tulikuamini, ila ume ruin memories zote za miaka 2000 plus ya NENO.LIFE umeona kwanini napenda maandiko yangu yaishi kwenye LIFE badala ya dot.com KWA MAANA macho ya watu na mitambo yao wame ifundisha kusoma dotcom, kama ni kitu kingine, haya jui kuwa hii ni biasha na kweli NENO sio biashara na nili fikiria sana mpaka kuleta domain inayo ishia na MAISHA nadhani nitapigania kuwe na NENO.MAISHA kabisa kwa Kiswahili, tusi changanye ma file.

so yea, juu ya kina maama kuacha kukaa jikoni na kutulea, na kutu penda, tokea kingbida aingie madarakani, wame sarenda na kutumia maandiko yao nililo yak rash, kwa uzuri tu, na kutaka kutumia Delila kuipindua himaya ya mfalme bida, ila kwakuwa nna KOFIA NYINGI na mungu haowi owi , ime kuwa nivita nilio kwisha ishindA KABLA HAWAJA IANZA hivyo wana kula hasara tu, kuishi kuongoza wakina mama wanao waangalia na kuwa Heshimu, kwa upendo tu. Ila kwa Imani, wana jua au wana waambia , vyweni tu magwanda, shusheni tu tu mikono, maana sio vita zile za kizamani, za kutekana na kufanyana watumwa, sio about money, sio about Imani, sio about fame, hizo ni battle tu ndogo ndogo, zina kuja na kuondoka kama wafoasi wa omar shakur tupac, alisha sema viat zina kuja na kuondoka ila , wanajeshi wake sijui wanini sasa kama wata kaa kuwa loya kwake milele, na hakuna kitu kinaitwa vita kama viata sa watu wapo tu kazini, kama professional zingine, tena mueshimu mganga wakienyeji kuliko dokta, maana akikuuua , kwa kukosea dozi, huna pa kumpeleka, au kumshitaki achana nah awa walio kula kiapo cha kufanya kitu wakitegemea, certifiketi zao zitawalinda.

Kina mama wametumika kwenye huu ujio , kabla sijatangaza vita ya u fame, wame nyanyua, viongozi wa kike, newziland, Tanzania, USA kamila kaenda TZ kwa samia, wamemshurutisha Samia kuwa modeli, kuwa komado wa muvi wakihisi ndio kita niteteresha , wame sifia SINGLE again ya HARMO na mimi ndio kwanza nashangaa kwanini tembo ameamua kuwa peke yake wakati ni Maisha ya MBOGO wrong ecology combinations, ndio madhara ya kuleta vita ya Wanyama nilio tangaza VITA YA TEMBO nilipo tua tu Uingereza kwenye facebook, nika muweka PAD CHALTON NA OLIVER McBride as my fighters, nikamaliza hilo battle salama , zika fata vita zingine mbili tatu za kwenye ma pub, na mitaani, za kimuziki na ki drink, ki burudani na kuvuta za kweli.

Wametaka kutumia media kuni poromosha, wamepigana none stop, kwa sound and vision war, na kukuta kwangu mimi nawaambia , ongezeeni na gitaa , mmesahau kuweka na malimba na goma za asili kidogo, labda ndio nitakuja. Wameniweka kwenye makundi ya kila aina, wamenipiganisha na watu aina wafu, wame nikutanisha na makabila yote ya dunia. Ila nope, nikawaambia mimi sio chizi, hizi band zenu na Watoto wa kike sio interest yangu, wagonjwa na disables plus foot ball and big mass, mikusanyiko ya watu sio my zone, ingawa niliwa saprize kwa kuvutiwa na shagwa na ile echo ya thousand of people kwenye uwanja wa St. Marrys, waka wasainisha waswahili kuja chezea timu yangu ya mtaa saints, waka kuta am not the footie person au ukabila , na sibabaikii watu kisa wana ustaa au rangi au hela au nimeambiwa wapo karibu nami, huwezi nichagulia cha kupenda au pa kupenda, nina upendo wangu, napenda baby face, napenda angels, napenda English figers, ila am real manyama nyama kind of lover man, sasa ukitumia hizo kunikamata, jiandae tena , maana it depand on the time of the day, place and mood, unatakiwa kuwa at right time, right place, with right chicken, maana nafira bata, Stopa alishangaa watu kufira kuku. Mimi nikamshangaa anasema anakula kuku kwenye kadamnasi ala hajui watu wanaowaza ngono waliopo kwenye guba la mapenzi, wakuu na maguro wa michubuano, ma test wa dildo wala punda, wala mbuzi wala, bata na mpaka ma cycles wa ngono, wana mtamani vipi kusikia mtu ana kwambia nimekula kuku wa kusha, hapa watu wana kula bata , hizi vita na beto ndogo ndogo za kula kuku na kula bata, nimepigana nazo nikiwa sijui nipo mafunzoni, kabla yaka sija ingiza miaka 14 miaka 16 nilikuwa na kibali kutoka kwa leader a.k.a the Damaresi mum of the Swahili and as tembo the matriarch leader akisema, John, Kabla ya kuni batiza kuwa John Meja. Lala na Oresta, umelisikia hilo jina. Huyo ni Malaika wangu mkata bikira wangu kihalali, napewa na mlezi wangu. Nikala mzigo kihalali kabisa, sio bata na kuku tena. Labda niende kwenye zoo tu sasa niangalie wa porini. Maana kama kuvua Samaki baharini, nime fanya hayo Arusha mpaka sasa wana nivutia kwenye uvuvi nikawaambia mna kosea, hilo sio andiko langu , nyie mna fananisha na yule Yohana mbatizaji ndio alie kuwa akivua watu, mimi ni John A. M aka john Meja naokoa watu. Maana wao wanadhani unavua watu uwa lale, yani wanavua Samaki nchi kavu, wana kesha kutafuta mademu wakizungu usiku wawalale, na mchana wana tafuta mademu na wanaume wa kizungu wawauze au kuwauzia safari wanaitwa ma flycters, au ndio wanovyo jiita flying catchers, wakidhani  kwamba wana ujanja, kumbe wana endeleza maagano tu, wakiletewa mtalii mweusi wanachanganyikiwa hawajui wafanyaje, wamuuze , wamle nayeye sio kuku wala bata, au wampeleke nyumbani kama nilivyo fanya kwa Black Amerikan Molse, baba wa kiki nilie mkutanisha na hero wangu my angle Mrecha.


Kina mama wametumika kwenye huu ujio , kabla sijatangaza vita ya u fame, wame nyanyua, viongozi wa kike, newziland, Tanzania, USA kamila kaenda TZ kwa samia, wamemshurutisha Samia kuwa modeli, kuwa komado wa muvi wakihisi ndio kita niteteresha , wame sifia SINGLE again ya HARMO na mimi ndio kwanza nashangaa kwanini tembo ameamua kuwa peke yake wakati ni Maisha ya MBOGO wrong ecology combinations, ndio madhara ya kuleta vita ya Wanyama nilio tangaza VITA YA TEMBO nilipo tua tu Uingereza kwenye facebook, nika muweka PAD CHALTON NA OLIVER McBride as my fighters, nikamaliza hilo battle salama , zika fata vita zingine mbili tatu za kwenye ma pub, na mitaani, za kimuziki na ki drink, ki burudani na kuvuta za kweli.

Wametaka kutumia media kuni poromosha, wamepigana none stop, kwa sound and vision war, na kukuta kwangu mimi nawaambia , ongezeeni na gitaa , mmesahau kuweka na malimba na goma za asili kidogo, labda ndio nitakuja. Wameniweka kwenye makundi ya kila aina, wamenipiganisha na watu aina wafu, wame nikutanisha na makabila yote ya dunia. Ila nope, nikawaambia mimi sio chizi, hizi band zenu na Watoto wa kike sio interest yangu, wagonjwa na disables plus foot ball and big mass, mikusanyiko ya watu sio my zone, ingawa niliwa saprize kwa kuvutiwa na shagwa na ile echo ya thousand of people kwenye uwanja wa St. Marrys, waka wasainisha waswahili kuja chezea timu yangu ya mtaa saints, waka kuta am not the footie person au ukabila , na sibabaikii watu kisa wana ustaa au rangi au hela au nimeambiwa wapo karibu nami, huwezi nichagulia cha kupenda au pa kupenda, nina upendo wangu, napenda baby face, napenda angels, napenda English figers, ila am real manyama nyama kind of lover man, sasa ukitumia hizo kunikamata, jiandae tena , maana it depand on the time of the day, place and mood, unatakiwa kuwa at right time, right place, with right chicken, maana nafira bata, Stopa alishangaa watu kufira kuku. Mimi nikamshangaa anasema anakula kuku kwenye kadamnasi ala hajui watu wanaowaza ngono waliopo kwenye guba la mapenzi, wakuu na maguro wa michubuano, ma test wa dildo wala punda, wala mbuzi wala, bata na mpaka ma cycles wa ngono, wana mtamani vipi kusikia mtu ana kwambia nimekula kuku wa kusha, hapa watu wana kula bata , hizi vita na beto ndogo ndogo za kula kuku na kula bata, nimepigana nazo nikiwa sijui nipo mafunzoni, kabla yaka sija ingiza miaka 14 miaka 16 nilikuwa na kibali kutoka kwa leader a.k.a the Damaresi mum of the Swahili and as tembo the matriarch leader akisema, John, Kabla ya kuni batiza kuwa John Meja. Lala na Oresta, umelisikia hilo jina. Huyo ni Malaika wangu mkata bikira wangu kihalali, napewa na mlezi wangu. Nikala mzigo kihalali kabisa, sio bata na kuku tena. Labda niende kwenye zoo tu sasa niangalie wa porini. Maana kama kuvua Samaki baharini, nime fanya hayo Arusha mpaka sasa wana nivutia kwenye uvuvi nikawaambia mna kosea, hilo sio andiko langu , nyie mna fananisha na yule Yohana mbatizaji ndio alie kuwa akivua watu, mimi ni John A. M aka john Meja naokoa watu. Maana wao wanadhani unavua watu uwa lale, yani wanavua Samaki nchi kavu, wana kesha kutafuta mademu wakizungu usiku wawalale, na mchana wana tafuta mademu na wanaume wa kizungu wawauze au kuwauzia safari wanaitwa ma flycters, au ndio wanovyo jiita flying catchers, wakidhani  kwamba wana ujanja, kumbe wana endeleza maagano tu, wakiletewa mtalii mweusi wanachanganyikiwa hawajui wafanyaje, wamuuze , wamle nayeye sio kuku wala bata, au wampeleke nyumbani kama nilivyo fanya kwa Black Amerikan Molse, baba wa kiki nilie mkutanisha na hero wangu my angle Mrecha.

 

This is a Neno you’ve reading. Here will be some sort of brief description asaqp, karibu.

Mitume na Manabii wa Era za John

Kwahiyo wanajiita wawindaji wa hewani na hawaja wahi taka kuruka na balloon la Serengeti, wanauza safari za mbuga za Wanyama miaka na miaka, kizazi na kizazi , mpaka nilipo waonesha , a2z za utalii ina just 3 years FROM TOURIST TO DIRECTOR OF TOURIST COMPANY na kuwaachia na kuendelea kwenye majukumu mengine ndipo wakajua  oooooh kumbe ili tuuze utalii hatuhitaji kuwa lkala watalii, maana sheria za kazi au biashara zina sema , DON’T SHIT WHERE YOU EAT au usichanganye kazi na hisia, mapenzi na kazi, ndugu na marafiki na biashara. Now wakajua kuwa RULE 2 ni kuwa unajua Wanyama na mbuga na milima na makabila ili uweze kukuza utalii, OK, kujifunza hakuna mwisho, hata MUGABE ALIPATA DGREE YA MWISHO NEAR 90s na bado akawatimua waliompa hiyo degree akiwaombea njaa na kutangaza COMMON WEALTH ni kama team ya MAN U na au LIVER poole, unachagua tu timu upendayo, mimi nika chagua Saints , nika sema sio kwamba sipendi mpira, ila sitaki kuumizwa kama nilivyo kwisha umizwa na hili puto lenye mchanganiyiko wa UPEPO, RABA NA NGOZI YA WANYAMA sielewi kwakweli, maana lina u dini, Imani, madini na Maisha on it, na watu they real going crazy kama nilivyo toa mfano wa  UISLAM, WESTERN NA MAISHA YA DUNIA na maendeleo yake kupitia MAFUTA YA UARABUNI ila at the same time, DUNIA ya watu wachache haswa Afrika  na Middle East wanaaminishwa juu ya Christianity na uislam , kuwa one of the above is bad or good, and one out of them is neither good for another au havipo compatible, Hivyo hata kama waislma na wakristo wana ishi in one continent and share every thing, bado divide and rule  ipo kama haipo, am not a believer of devide and rule, as najua ukisha zoea hivyo at the end uta jiuua au kumuua prtner wako, maana moja haigawanyiki, na ukifosi kuigawa, unaitoa Maisha.

Wamewagawa watengwa, bongo fleva, wamewapa Maisha na vyeo walio kwenye industry , wameniundia maofisi na maofisi ni crack na kuwa kwenye njia watakazo, yani niwe kwenye single file ili wafanye yao, nikagoma, kwakuwa sio wa aina yao, wamempa tembo madili na madili ya mabank na kufanya nifanyayo, nimepandisha damaresi Kilimanjaro, nikapandisha dj na singo kali nikaweka power ofrighting on damaresi music, wameona kama nyimbo zooooote wanazo mwandikia sisikii wakampa usingle again na kumsafirisha dunia mpaka haris na industry ya burudani, wakataka niingie kwenye usingle againWAJINGA KWELI, mtu kesha tangaza kaamua kuwa single mimi nimfate kutaka nini wakati kashasema ana haso peke yake, any way. Wameona Swahili na naija , na kina Edsheran, na kina Adele , vichapo walivyo nipa, na mabeto nilio shinda havitoshi wakajivuruga na ma bettings, mahelikopta, marolls royces, mara biashara za karanga, wanaona waaaala sipo kwenye utalii, burudani, ndio kwanza naelekeza majeshi kwenye kuuza nyanya na vitunguu online uswahilini.

Hii ni Just a Code kwamba nasisi tuna koseaga
...uza nyanya na vitunguu online uswahilini...

ameleta wahindi, wachina na VITA YA KOVI, beto dogo sana. Ila wakaleta BETO LA VISU wakaleta BETO LA KUCHOMA MOTO Weusi na London, wala haviku nigusa. Watu walijitoa muhanga, walijilipua, mi nikawa nainjoy news tu, maana najua, muvi kubwa na iliouza dunia nzima na haina mpinzani ni HABARI hiyo haina thamani, ndio maana inagaiwa bure, kwamaana ni free, you can choose nani asikie nini, lini uunde matukio ya kweli au ufeki, utumie kamela , au peni ili mradi kuna sauti au maandishi na mtu wa kuIpresent na object ya kuongelea. Uta gusa souls za watu.

Kwahiyo unaweza uka choose uhutubie kadamnasi ya ma bilioni wasio kuelewa kama Christianity na uislam ulivyo gonga ukuta mabara mengine kasoro middle east na Afrika, au uamue kuchagua chanell yako ya kuwaadhia walengwa tu kama wewe unae soma Habari hii sasa hivi na huna cha kuifanyia au cha kunifanya, as huwezi nijibu, hujui who am I, as huamini, kuna Mungu, na huwezi niona as hukunufata mimi ndio nilio kufata, na wewe sio ulio chagua kupata unayo yapata , ila Malaika wangu wenye nguvu, wame mshurutisha alioko juu yako ahakikishe unapata hiki ulicho kipata, so its up to you.kukitumia kwa uangalifu as ume kipata, sasa unajua dunia haipo tena kwenye maasi ya kuua au kuuana au kutisha au kutishiana, kudanganya au kudanganyana, kutamanishana au kutamaniana. Kama unataka, start now kufungasha na kuandaa safari ya Kwenda kukipata ulicho au unacho kiwazaga ota na believe kitabadilisha Maisha yako na kuyafanya ya furaha na better ukikipata ina maana umekamilisha uwepo wako duniani kwa kufuata na kufanya ulicho taka.


siokwamba wasiwepo vibaraka, ni msemo nisio penda kuutumia mara kwa mara , ila angalia mwishoe una neno BARAKA so its not a bad NENO kwa kweli, na situmii sana hili neno kama neno kwenye neno.life ili watu waamini, HILI NI AGANO LA MWISHO as HAKUNA AGANO JINGINE au NABII  au MTUME au MUNGU MWINGINE ata kae kuja baada yangu. Maana wote nime waandalia haya makao mema, kwa ajili ya kuingi na kikubwa kuto kutoka, ila kudumu kwao na kukua kwao na kuongezeka kwa ushujaa wao, na ustaha wao, utashi na mchango kwenye jamii kwa maono, maandishi na mionekano ya yaliopita, yaliopo na yajayo, vyote mpaka nisipo ona vita jiendeleza hapa, majina na mifumo, na waandishi na wasimuliaji, na viongozi watabadilika. ILA NENO LITA SIMAMA hivyo hawa, na hamu hitaji kuwa waandishi tu kama mimi kujua yote ya angani mpaka chini ya Bahari nisio yajua kama mimi, eti ndio muwepo hapa kama mimi, nooo, wapo wenye utashi huo na interest hizo na uking, ni utume huo watakao yafanya hayo na kuwa wakilisha, nanyi kutumia upeo na uwezo wa kineno kuweza kuweka hapa nakwinginepo NENO litakapo kuwepo.

 

This is a Neno you’ve reading. Here will be some sort of brief description, na kubwa kuliko yote wanadamu wa kizazi cha sasa na kijacho wata toa maoni yao juu nini na nanni awepo in this Neno.life na wani asiwepo, naamini, mgawanyo wa koments, likes, reviews na pia kura vitasaidia sio kuleta www.neno.life part two bali kuimarisha neno hili kwa topic za ziada au kwe waraka tofauti wa ziada wa pembeni au links ili wote tuweze fiti in, ki imani, kifuraha na ki amani. sitegemea matabaka, Nategemea new waraka more and more, kupresent what is realgood for every one sasa na hata milele yote ya tekinolojia.

Contact Neno:
E-mail: Neno@neno.life
Phone number: Neno

Facebook / Instagram / Twitter / LinkedIn

© Neno